SAIDI CAFE

Orodha ya huduma zinazotolewa

  1. VYAKULA
    • Pilau
    • Wali
    • Ugali
    • Samaki
    • Nyama
    • Vitafunwa
  2. VINYWAJI
    • Supu
    • Soda
    • Maji
    • Juisi
    • Chai (Rangi/Maziwa)

BEI ZETU

Bei zetu ni nafuu na rafiki zaidi kwa wateja wetu wenye hali zote, kama ifuatavyo:!

  1. VYAKULA
    • Pilau Nyama / Pilau Samaki - Tsh. 3,500/=
    • Wali Nyama / Wali Samaki - Tsh. 3,000/=
    • Ugali Nyama / Ugali Samaki - Tsh. 1,500/=
    • Vitafunwa: Maandazi - Tsh. 200/=
  2. VINYWAJI
    • Supu - Tsh. 3,000/=
    • Soda - Tsh. 600/=
    • Maji - Tsh. 500/=
    • Chai ya Rangi - Tsh. 200/=
    • Chai ya Maziwa - Tsh. 300/=